AMA KWELI POMBE SI CHAI WALA MTORI..JAMAA KATEPETA MPK KUSHIDWA KUTEMBEA, APELEKWA KWAKE NA TOROLI

Sunday, March 16, 20140 comments







Ni aibu sana mtu kunywa pombe mpaka kushindwa kujua kiwango chako cha kusema basi.Unalewaaa mpaka akili inagota njia ya kwenda kwako unaisahau,mbele huoni unaanguka mpaka kutembea unashindwa mwisho unabebwa kwa style hii kurudishwa kwako

Kunywa kwa kiasi ili uweze kujimudu kwa style hii wahuni awachelewi kukufanyia vitu vya aibu.....mbayaaa(kwa sauti ya mchungaji Lwakatare



Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. NDANI YA JAMII - All Rights Reserved