DIAMOND PLATNUMZ AKIMBIZA KURA ZA BET AWARDS 2014, MPIGIE KURA ASHINDE

Sunday, May 18, 20140 comments


Msanii Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kwa sasa anakimbiza katika mchakato wa upigaji kura katika Tuzo za BET 2014 ambapo mpaka saa 10:55 leo jioni anaongoza katika kundi lake akiwa na asilimia  76.39 ya kura zote akifuatiwa na Mafikizolo wenye kura asilimia 8.17. Tuzo hizo zitatolewa Juni 29 mwaka huu jijini Los Angeles, Marekani.
KUMPIGIA KURA DIAMOND, INGIA HAPA: BET AWARD 2014
Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. NDANI YA JAMII - All Rights Reserved