KIJANA ALIYE NUNUA MAKAHABA WAWILI KWA LENGO LA KUWAFAIDI WOTE,WAMZIDINGUVU NA KUMZIMISHA...NI NOUMAAA!

Friday, May 16, 20141comments



Mwanaume  mmoja  ambaye  ni  muokota  chupa  maarufu  aliyetambuliwa  kwa  jina  moja  la  Hamad  anadaiwa  kunusurika  kufa  katika  nyumba  moja  ya  kulala  wageni  iliyoko  eneo  la  Manzese  jijini  Dar  kufuatia  kuthubutu  kwake  kufanya  ngono  na  makahaba  wawili  kwa  pamoja.....

Kwa  mujibu  wa  mashuhuda  wa  tukio  hilo, inaelezwa  kwamba  mara  baada  ya  Hamad  kujipatia  pato  lake  baada  ya  kuuza  chupa  za  plastiki,alikwenda  kuwanunua  makahaba  hao  na  kuwataka  wakafanye  ngono  shirikishi.....

"Hawa  makahaba  kazi  yao  ni  kuuza  miili,walipomuona  amekwenda  na  pesa  nzuri  wakamkubalia,kumbe  huyu  bwana  kula  yake  ni  ndogo, mwilini  kwake  kumejaa  gongo  tu  na  wala  hana  chakula  cha  kutosha.Walipokuwa  chumbani  wanawake  hawa  walimzidi  nguvu  akapoteza  fahamu"  Alisema  shuhuda

Aliongeza  kwamba  makahaba  hao  walikuwa  na  utu, baada  ya  kumuona  hajiwezi  walimtoa  chumbani  na  kumpeleka  uwani  ambako  walimmwagia  maji  mpaka  akazinduka....

Hata  hivyo  inaelezwa  kwamba, baada  ya  kurejewa  na  nguvu  kama  kawaida, Hamad  alitaka  tena  kuingia  chumbani  na  warembo  hao  ambao  walimkatalia  na  kutishia  kumtelekeza  akizingua  tena....
Share this article :

+ comments + 1 comments

October 1, 2016 at 3:58 AM

waje kwangu hao malaya nipo mwanza 0716284781

Post a Comment

 
Copyright © 2011. NDANI YA JAMII - All Rights Reserved