



Askari wa kikosi cha Zimamoto wakiwa kazini

Mkuu wa wilaya ya Tanga Mh.Halima Dendegu akiwasili katika eneo la tukio

Mh.Halima Dendegu akishuhudia ajali ya moto huo katika nyumba za polisi Chumbageni,jijini Tanga hapo jana

Wananchi wakishuhudia na kusaidia vikosi vya zimamoto katika uzimaji moto huo.

Baadhi ya vitu vilivyookolewa katika ajali ya moto.
Picha kwa hisani ya Tanga kunani(TK)

Post a Comment