HAYA NDIO MAAJABU MENGINE YA DIAMONDI KUWANIA TUZO ZA BET...

Sunday, May 18, 20140 comments

Screen Shot 2014-05-18 at 2.46.51 AM 
Ni siku chache tu zilizopita toka Diamond Platnumz ametangazwa kuwania tuzo za kituo cha Television cha Marekani BET akiwa ni msanii pekee kutoka Afrika Mashariki kuchaguliwa kuwania tuzo hiyo huku wengine wakitoka Nigeria, Ghana na Togo. (Best International Act: Africa )
Good news ni kwamba katika mchakato wa kura sasa hivi Diamond ameshika nafasi ya pili katika list ya Wasanii wote sita ambapo kama
Watanzania wataendelea kumpigia kura kwa kasi na kumzungumzia kwenye mitandao ya kijamii basi anaweza kushika nafasi ya kwanza kwa kumpiku alie juu yake ambae kamzidi kwa asilimia 5 tu.
Screen Shot 2014-05-18 at 2.43.52 AM

Nafasi ya pili inashikwa na Mafikizolo wa South Africa wenye asilimia 24.8, ya pili inashikwa na Diamond kwa 19.94 % ya tatu Tiwa Savage wa Nigeria 17.28%, ya nne Davido 16.55%, ya tano ni Sarkodie (Ghana) 12.23 na ya sita Toofan (9%)

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPA CHINI..

Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. NDANI YA JAMII - All Rights Reserved