NDOA YA KANYE NA KIM....WAALIKWA KUKATAZWA KUINGIA NA SIMU ISIPOKUA JAY Z NA BEYONCE..!

Saturday, March 15, 20140 comments

Kulikuwa na tetesi kuwa Jay Z na Beyonce hawatahudhuria harusi ya Kanye West na Kim Kardashian kwakuwa harusi hiyo itarekodiwa na kurushwa kwenye show ya Keeping Up With the Kardashians ambayo ‘The Carters’ hawataki kuonekana.
article-2581338-1C4DB42700000578-262_634x917
Hata hivyo, RadarOnline wamedai kuwa wawili hao watahudhuria harusi hiyo. Harusi yenyewe itakuwa na masharti kibao. Yeyote atakayehudhuria hatoruhusiwa kwenda na simu ya mkononi na atasaini fomu maalum.
article-2581338-1C4DB53C00000578-113_634x715
Wapenzi hao hawataki kurudia kosa lilofanyika kwenye sherehe ya kuvishana pete bale mwanzilishi mwenza YouTube, Chad Hurley alipochukua video ya tukio na kuiweka Youtube. Kim na Kanye walimshtaki.
article-2581338-1C4DBCF800000578-490_634x900
RadarOnline inadai Jay Z na Beyonce hawatoguswa na sharti hilo, wanaweza kuingia na simu zao.
article-2581338-1C4DEDF300000578-355_634x870
“There is no way Kanye would ever even dare to ask Jay Z or Beyonce to sign a non-disclosure agreement, or take away their cellphones. He knows that neither one of them would betray his trust,” kilisema chanzo hicho.
Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. NDANI YA JAMII - All Rights Reserved