MAGAZETI YA MCHOSHA WEMA SEPETU,ASEMA MANENO MAKALI KUHUSU KUCHAFULIWA KWAKE...HEBU SOMA KISA HIKI..!

Sunday, November 3, 20130 comments


clip_image003                       C.E.O wa kampuni ya Endless Fame Film maarufu kma Wema Sepetu ameonekana kuchukizwa na kitendo cha kuchafuliwa kwa jina lake katika moja ya magazeti ya udaku ya hapa nchini.
Mapema asubuhi ya leo kupitia account yake ya Instagram mwanadada Wema alitupia picha ya gazeti hilo lililo mchafulia jina kwa kumuandika kuwa "Wema Kunyongwa China Awaomba Watanzania Wamuombee".
Pia dakika chache zilizopita kupitia account yake hiyohiyo ya Instagram wema amefunguka zaidi kwa kitendo hicho cha kuchafuliwa jina na kuandika hivi ...
Soma hapa chini ...
TOA MAONI YAKO HAPO CHINI..
Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. NDANI YA JAMII - All Rights Reserved